PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita vya panzi.........Mtani nimecheka sana yaani. 😂😂
😂😂Wanatembea na mawe mifukoni
Kwani mechi imeisha?? Mbona mnakua kama mmemwagiwa upupu???Juzi ilikua uchawi leo una maelezo gani ndugu mjumbe[emoji441][emoji441][emoji2772][emoji2772]
Nibebe kibegi kwan mi muhuni?😀 😀 😀 😀 🐸 🐸 🐸
Umeishiwa bwana hizi sio mambo zako
Kispika mdg wako Ally aliona kinamfaa akaiga....
Vibegi kwani ww hubebi??
Rafiki unazidi kuwavuruga hapo. 😂😂Leo hamsa tena
AiseeUsinikoti kwny koment za watu twafwaadhali...anionee huruma kwani nimeomba msaada??
Basi basi mwanalunyasi mwenzangu tutulie zile 5 nyingi mnoTano tano...kumbuka mlishapokea
Wachawi...juzi mlikamatwa na kamera
Matopolo
Vinyesi
Vyura
Gongowazi
Sasa mbona unanifokea dada yangu [emoji23][emoji23]tuongee kama nduguKwani mechi imeisha?? Mbona mnakua kama mmemwagiwa upupu???
Tena upupu wa makalioKwani mechi imeisha?? Mbona mnakua kama mmemwagiwa upupu???
Hahahaaa. Tunataka vita viibuke msimbazi this time.Eeh Mungu wa Namungo pigaa hizi pipo🤠🤠😁!
Kabisa..Sidhani. Nadhani tatizo lipo kwenye kikosi kutokuwa na alternative. Kati pale kama ushajua namna ya kuwadhibiti saidoo, Chama na beki anayepanda kupitia wing shomari basi nafasi ya ushindi ipo.
Labda pepoPUNDAKiungo punda atoke tena?