Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibu gani Mzee..... MtachanganyikiwaAahh.. Katoka ngoma kaingia kibu.
Huyu kocha baada ya hii game tu aporwe timu, haijalishi matokeo tutakayopata.
Maana sihesabii hata tukishinda, watot wameamua kukaba kulinda goli, ila wakiamua kuja wanaweza kupata goli jingine.
Ndio maana hatki kuachia uwazir mkuu kwa gharama yoyote ileNasikia PM kaweka hela kwa timu yake ya nyumbani ishinde leo
WamevurugwaaaBocco, Phiri na Baleke wote wanacheza kwa pamoja [emoji23][emoji23]
Sijawahi kuona.
Tulisemaga Simba ni mbovu ila wakajizima data.Simba wamekimbia uzi wameutelekeza wanasikilizia matokeo wakiwa chooni.
Ameeen.Eeh Yesu saidia Namungo![emoji120]
AahaaahaaaNdio maana hatki kuachia uwazir mkuu kwa gharama yoyote ile
74Dk ya ngapi huko?
tunatoa droo leo😉
Hivi mkuu Mpetde , hilo jina ni kwamba kipindi unajisajili ulitaka kujiita Mpende ila ukakosea au?
Mke wangu si wewe jamani,au umesahau zile goli tano?Kwa Mkeo
Wenyewe walikuwa wanajiita wakimataifa,sijui giant sijui wakubwaTulisemaga Simba ni mbovu ila wakajizima data.
Upo kwenye joto (heat) eeWana 5iiiiiimbaa. 😅😅
Kapewa helaaHivi huyu Baleke anahitaji nafasi ngapi ili afunge walau goli moja? Naona bench linamwita!