FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

Hiyo mihemko mliyonayo utopolo round ya pili mtatafutana msijue mlikopotelea... mmezoea kuishi kwa kukariri.. afashali mnyama niharibu round ya kwanza kuliko ya pili...

Nguvu Moja.
Wewe ni kuku kweli hivi kwa akili yako ingekuwa kama round ya kwanza haina maana basi kocha wenu asingefukuzwa
 
Mtani samalekoo...
Jioni njemaaa
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿคช Ulijifucha nlipopigwa 1 mmerudisha umerudi na wewe mtani ๐Ÿ˜† ulikua unalia ukiwa wapi?
 
Hebuuu nikachekee chooni mimii๐Ÿšถ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคฃ๐Ÿคญ ๐Ÿคญ!
Naona unapenda sana kubugia inzi wa kijani ๐Ÿ˜‚

Panua mdomo huko chooni uwabugie vizuri kisha kashushie na supu ya vibudu vya Bashite jpili ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Usajili wa 2 players wakizidi sana 3 na kocha mwenye mbinu. Simba imepoteza mechi moja msimu huu kama mpinzani wake Yanga. Ligi ndo kwanza ipo mwanzoni. Muda wa kujiimarisha na kuimarika upo wa kutosha.
Kinachoangaliwa sio idadi ya mechi ambazo mmepoteza, Bali ni mwenendo mzima wa timu yenu. Kipindi nyie mnajiimarisha, wenzenu wapo imara kitambo.

Hebu niambie, ni Kocha gani mwenye mbinu mnayemtaka? Na awe na mbinu za aina gani? Maana mbinu objective hazijafanya kazi.
 
Wewe kaa na records zako sisi tunataka ubingwa last season mlikua mnatafta kiatu ndio maisha mliyo chagua
Nani aliyekwambia mimi sitaki ubingwa?

Juzi umegongwa na Ihefu kimyaaa.. kumuotea Simba ndio mnajiona mmeshakuwa mabingwa...

Utoto mtupu
 
Wenyewe kwa wenyewe wanatafutana mchawi ninani bwahaaaa!!

Hebuuu nikachekee chooni mimii๐Ÿšถ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคฃ๐Ÿคญ ๐Ÿคญ!

๐Ÿ–๏ธ
Makolo kila mtu kachanganyikiwa.... Hawajui walaumu kipa, beki au Kocha ๐Ÿ˜…
 

Attachments

  • 255717056499_status_32c0a06728624d9faa68788407f8e449.mp4
    626.4 KB
Kinachoangaliwa sio idadi ya mechi ambazo mmepoteza, Bali ni mwenendo mzima wa timu yenu.
Kinachoangaliwa si mechi unazopoteza? Mwenendo mzima unaupimaje sasa kama si kupoteza point katika mechi? Kwamba unaweza poteza mechi na ukawa na mwenendo mzuri kwenye ligi?
Kipindi nyie mnajiimarisha, wenzenu wapo imara kitambo.
Wenzetu kina nani? Kama ni Yanga nae amepoteza mchezo na huenda atapoteza tena. Kila wakati timu inajiimarisha na kusahihisha udhaifu unaojitokeza. Kujiimarisha ni jambo endelevu.
Hebu niambie, ni Kocha gani mwenye mbinu mnayemtaka? Na awe na mbinu za aina gani? Maana mbinu objective hazijafanya kazi.

Kuhusu kocha si mara ya kwanza Simba kufukuza kocha.
 
Simba akishinda game tatu mfululizo utawaskia vyura ooh refa kawabeba sijui nini na nini, sasahivi mnacheza tu sindimba
 
Kinachoangaliwa si mechi unazopoteza? Mwenendo unaupimaje sasa kama si kupoteza point katika mechi? Kwamba unaweza poteza mechi na ukawa na mwenendo mzuri kwenye ligi?

Kuhusu kocha si mara ya kwanza Simba kufukuza kocha.
Kwani msimu uliopita, wewe na Yanga nani alikuwa kafungwa mechi nyingi?

Lakini pia niliposema kinachoangaliwa sio mechi ulizopoteza, nilimaanisha tokea ligi imeanza mpaka hapa tulipo sasa. Yawezekana ukawa umepoteza mechi moja, lakini mwenendo wako ni tia maji tia maji. Na ndio maana hata kabla ya derby, Yanga tulikuwa tumepoteza mechi moja, huku nyie hamjapoteza, ila Cha ajabu hamkuwa na furaha
 
Back
Top Bottom