themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Chama goigoiEti Chama ni bora kuliko Pacomeee, shenzi taipu.
Hatuna timu kuna ng'ombe uwanjaniUhakika goli 4 bila bado 2
Yan huyu refa hafaiImagine Morogoro hadi Chanika
πππ We tulia naa ubao hapo.Mkuu wewe ni Uto?
Kabisa amalize mpira ili na sisi wengine tuwahi kunyonyesha. ππDaah refa analize mpira bhana wengine tunakaa mbali
Weka mkeka utapiga hela ndefuHapa itaishia 2 Prisons 3 Simba. Subiri tu.
Sijui Nani anawauziaga tumbaku [emoji16]Aisee Simba ni ...
Yani bado wanaamini game hii wanashinda.
Niko na vijana hapa cjui wamekula ugoro..
KabisaaaPrison leo wapewe hela ya Mama
Simba hawana uwezo huoHapa itaishia 2 Prisons 3 Simba. Subiri tu.
Kuna dogo hapa ni mbishiii..Sijui Nani anawauziaga tumbaku [emoji16]