Gamondi vs RobertinhoGAMONDIIIIIIII
Na kocha nae ni tatuzo mkuu! Timu mbovu sana.. timu bora hairuhusu magoli kila mechi.. hata Al ahly walikosa nafasi nyingi za wazi lakini tungetafutana!Tuna timu ya kawaida sana timu kuanzia kwenye namba sita kurudi nyuma wote ni wabovu nashindwa kuelewa kwanin ngoma anacheza kweny base ya chini wakati hawez kabisa kukaba kapombe shughuli yake imeisha
Hivi umeelewa ulichokiandika Mkuu? π πManula kauza mechi ndio maana mmepata 5,Aishi kawabeba na ugonjwa wake wala msijisifu
Haha asiyekubali kushindwa si mshindani, leo tumekubali tumekuwa vibonde wenu hongereni watani, ila huyu kocha namuombea huu msimu mzima aote ndoto mbaya tu shenzi zakeHi!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee hii siyo kiume wala!Naishukuru timu yangu simba tumekufa kiume
Asante Proved nimeyapokea nina furaha, kama nipae vile. 1 - 5.Hongereni sana ,leo mmeokota dodo chini ya mpera ....
Bantu Lady pokea maua yako π₯π₯πΉπΊ πΉπΊπΉ
Polee sana kiongozi mdomo umewaponzaSina neno, Goli 5 ni nyingi sana
Ile 5G yao imefutwa leoSasa tumemaliza deni lao, kama kuna linguine waseme ili tuwalipe tena