ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Pole sana mdogo wangu ndo mpira huo.[emoji85][emoji85][emoji85]
Dawa ni kutafuta mishangazi ya Uto tulipize 5 huko.Leo Yanga wametupatia, hapa dawa ni kunywa maji mengi usiku tutafute namna ya kupata usingizi, ikibidi hata tumeze vidonge, hizi kelele nyingine ni hasira tu ndugu zanguni.
Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..
-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers
- simba haichezi soka inayoeleweka
- timu wachezaji haina nguvu
- line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze
-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- subirini, championship league, hata robo sijui.
Shame to BOARD OF SIMBA
Naunga mkono hoja ππAnaanda waraka wa shutuma,matusi na kufukuza watu.
Kitu pekee ambacho Yanga na Mwamuzi walikifanya kwa ubora leo ni kuhakikisha Kibu anatoka mapema uwanjani. Jitihada zilikuwa nyingi kwa msaada wa mwamuzi.
B... hizi sherehe zenu uzimalize hapa, ukizileta kule nitakupiga. Mimi nina hasira ya kufungwa, tena hasira kweli. Nimesema mapema hapa mbele ya Utopolo wenzio.
Ova
Nimemquote shabiki wa Simba huyo amepita analia balaa πππAisee pole sana
Eeehee...Nimeonajee aibuu mimiii ππ€π€π€!
Waliompanga kucheza ndo wapumbavuIla Manula ana kiherehere chakumfata Azizi key!!, Mtu ana miezi Kama 5 hajacheza na anajua anaenda kukutana na mwwmba key kwann hakukata? Ila nasikia ni maagizo kutoka kwa viongozi. Asanteni viongozi kumleta key BBY wake!.
Nawashangaa wanavyoumia wao[emoji23][emoji23],Wanataka tuvurugikiwe hata kama hatuna muda huooo...
Ni matokeo tuu kama matokeo mengine
PoleniMtaani kuna watu wanajitakia vilema visivyo na ulazima
Unakuta shabiki wa Uto anakusumbua kelele nyingiii bughdha kibao unakosa hadi raha
Ukimcheki mdomoni tayari ana pengo (clean sheet haipo) na mtaani wanamuita pengo.
Mtu kama huyu anaweza kuipa serikali sababu ya kuingia upya bungeni kutunga ibara nyingine ya sheria kwa ajili ya kuwalinda watu wa Yanga.
Yanga zaidi πππSIMBA semeni ukweli kati ya Ahly na YANGA nani zaidi?