FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Mtaani kuna watu wanajitakia vilema visivyo na ulazima

Unakuta shabiki wa Uto anakusumbua kelele nyingiii bughdha kibao unakosa hadi raha

Ukimcheki mdomoni tayari ana pengo (clean sheet haipo) na mtaani wanamuita pengo.

Mtu kama huyu anaweza kuipa serikali sababu ya kuingia upya bungeni kutunga ibara nyingine ya sheria kwa ajili ya kuwalinda watu wa Yanga.
 
Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..

-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers

  • simba haichezi soka inayoeleweka
  • timu wachezaji haina nguvu
  • line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze

-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- subirini, championship league, hata robo sijui.

Shame to BOARD OF SIMBA

Umeongea ukweli mtupu. Nilisema hii mechi sitaiangalia na lazma tufungwe.
 
[emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172]
 
Kitu pekee ambacho Yanga na Mwamuzi walikifanya kwa ubora leo ni kuhakikisha Kibu anatoka mapema uwanjani. Jitihada zilikuwa nyingi kwa msaada wa mwamuzi.

B... hizi sherehe zenu uzimalize hapa, ukizileta kule nitakupiga. Mimi nina hasira ya kufungwa, tena hasira kweli. Nimesema mapema hapa mbele ya Utopolo wenzio.

Ova

Inonga alipaswa apewe red card kwa kumchezea rafu mtu wa mwisho

Kapombe nae alimshika mtu mguu kwenye box ila refa akambeba kipindi cha kwanza.
 
Ila Manula ana kiherehere chakumfata Azizi key!!, Mtu ana miezi Kama 5 hajacheza na anajua anaenda kukutana na mwwmba key kwann hakukata? Ila nasikia ni maagizo kutoka kwa viongozi. Asanteni viongozi kumleta key BBY wake!.
Waliompanga kucheza ndo wapumbavu
 
Yani Simba ibadilike,waamue kupambana sana sana ili wachukue ubigwa.vinginevyo watapoteza mashabiki na kupoteza mapato sanaaa
 
Mtaani kuna watu wanajitakia vilema visivyo na ulazima

Unakuta shabiki wa Uto anakusumbua kelele nyingiii bughdha kibao unakosa hadi raha

Ukimcheki mdomoni tayari ana pengo (clean sheet haipo) na mtaani wanamuita pengo.

Mtu kama huyu anaweza kuipa serikali sababu ya kuingia upya bungeni kutunga ibara nyingine ya sheria kwa ajili ya kuwalinda watu wa Yanga.
Poleni
Screenshot_20231105-193431.jpg
 
Back
Top Bottom