FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Hongera kwa mashabiki
 
fukuzeni japo kuna athari kubwa mkifanya hivyo
Kocha makini akija kwa quality ya wachezaji wa Simba hawezi kusumbuka kabisa, ni kuingiza mfumo wake timu inatembea, kocha uyu kapandisha kiwango cha mchezaji mmja tu ambae ni kibu, ila kocha mzuri hupandisha viwango vya wachezaji kocha wetu kafeli pakubwa sana
 
Basi fukuzeni mlete kocha bora zaidi
 
Asee! tusichoshane. Sina maneno mengi mana bado mnaropoka, wewe kama unaona goli tano ni kidogo zama kwa mgahawa agiza chapati tano hasa upate zile za mia nane mpaka buku, alafu anza kula huku kwa kila chapati ufanye ndo goli la YANGA. alafu uje utupe mrejesho kupigwa chuma tano kukoje.

NIMEMALIZA USIKU MWEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…