FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Mtaani kuna watu wanajitakia vilema visivyo na ulazima

Unakuta shabiki wa Uto anakusumbua kelele nyingiii bughdha kibao unakosa hadi raha

Ukimcheki mdomoni tayari ana pengo (clean sheet haipo) na mtaani wanamuita pengo.

Mtu kama huyu anaweza kuipa serikali sababu ya kuingia upya bungeni kutunga ibara nyingine ya sheria kwa ajili ya kuwalinda watu wa Yanga.
Kila timu unayoshangilia unatia gundu
 
Utopolo wana mwezi mzima wa kutamba na kutubeza humu jamvini.

Ila haina noma, ndio hivyo ishatokea, tutavumilia tu.
Dawa ni kupotea tu, mi ni Shabiki kindakindaki la Chelsea SC ila tangu August 2023 nione klabu yangu haieleweki sijawahi kutimba kwenye uzi wa Chelsea SC kwa zaidi ya miezi mitatu iliyopita [emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kitu pekee ambacho Yanga na Mwamuzi walikifanya kwa ubora leo ni kuhakikisha Kibu anatoka mapema uwanjani. Jitihada zilikuwa nyingi kwa msaada wa mwamuzi.

B... hizi sherehe zenu uzimalize hapa, ukizileta kule nitakupiga. Mimi nina hasira ya kufungwa, tena hasira kweli. Nimesema mapema hapa mbele ya Utopolo wenzio.

Ova
B... unashindwa kuniachia hii siku moja kweli? Hii moja tu nifurahi leo.
Mbona zile za Ahly tulilia wote? Vibaya hivyo b...
 
Barbara kabla na Baada ya mechi[emoji1][emoji1][emoji113]

Mnara [emoji113]
1699211376064.jpg
 
Kwani wachezaji ndo wameamua kumchezesha Manula asiye na match fitness hasa umakini katika kuwapanga vizuri mabeki! Manula hakuiwa akiwapanga vizuri mabeki, haikuwa sahihi kumpanga kwenye mechi kubwa.
 
Back
Top Bottom