Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Leo kama mwenza wako ni kolo, ujue tu hakuna haki ya ndoa usiku wa leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingi Mudi alishajitetea kuwa pira objective huwa linampatia pressure halipendi lakini Mbumbumbu SC fans walimuelewa basi [emoji848][emoji23]Aisee! Mudi hajapost huko X
Mzee wa Liverpool SC upo? [emoji851]Chimba chipoti chilabu [emoji23][emoji23]
Kila timu unayoshangilia unatia gunduMtaani kuna watu wanajitakia vilema visivyo na ulazima
Unakuta shabiki wa Uto anakusumbua kelele nyingiii bughdha kibao unakosa hadi raha
Ukimcheki mdomoni tayari ana pengo (clean sheet haipo) na mtaani wanamuita pengo.
Mtu kama huyu anaweza kuipa serikali sababu ya kuingia upya bungeni kutunga ibara nyingine ya sheria kwa ajili ya kuwalinda watu wa Yanga.
Hatimaye Yanga SC "Wananchi" wamepasua rasmi bikra ya Makolokolo SC kwenye NBC PL 2023/2024 [emoji38]Walisema Robertinho hajawahi fungwa na Yanag
Dawa ni kupotea tu, mi ni Shabiki kindakindaki la Chelsea SC ila tangu August 2023 nione klabu yangu haieleweki sijawahi kutimba kwenye uzi wa Chelsea SC kwa zaidi ya miezi mitatu iliyopita [emoji1787]Utopolo wana mwezi mzima wa kutamba na kutubeza humu jamvini.
Ila haina noma, ndio hivyo ishatokea, tutavumilia tu.
B... unashindwa kuniachia hii siku moja kweli? Hii moja tu nifurahi leo.Kitu pekee ambacho Yanga na Mwamuzi walikifanya kwa ubora leo ni kuhakikisha Kibu anatoka mapema uwanjani. Jitihada zilikuwa nyingi kwa msaada wa mwamuzi.
B... hizi sherehe zenu uzimalize hapa, ukizileta kule nitakupiga. Mimi nina hasira ya kufungwa, tena hasira kweli. Nimesema mapema hapa mbele ya Utopolo wenzio.
Ova
Yakhabib hamsa, hamsaHamsa [emoji113]
Pole sana mtani uliye na hekima zote sawa na Scars na The Greatest Of All Time.Hii timu hofyo hofyo
Tobaaa...![emoji15][emoji30]Kocha hakuna pale nitaacha kushabikia Mpira kama huyu Kumaa la mama ake akiendelea kuwa kocha.