Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Wana lunyasi 2 nyuma mwiko 0,,
Save hii comment...
Save hii comment...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MtajutaAmina kubwaaa!💪💚💛💛💛
Hapo baada ya match ubao unasomaBaada ya match.
Mwandishi: Ah, coach, how was the game?
Robertinho: "We buildly good team, good technique, I'm very very happy with my players, we played very well and this is very important. Thank you"
Kwa kikosi hichi, naweza kuweka bondi hata nyumba ya urithi.Kikosi cha WananchiView attachment 2804836
Hili swala mods walifanyie kazi, owe live updates kweliMnapokimbilia kuanzisha live update mnatakiwa muwe updated kweli sio mnaanzisha halafu hata vikosi vinavyocheza mnashindwa kuvitaja.
Mbona kimya mzeeHayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.
Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.
Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Ili iweje?Naitakia Simba ushindi.
Watu si wanakimbilia kuanzisha nyuzi tu hata kama hawana uhakika wa bando? 😁Hili swala mods walifanyie kazi, owe live updates kweli
Hii show angeisimamia mwanangu KIWATENGU, ndio inge noga.Mnapokimbilia kuanzisha live update mnatakiwa muwe updated kweli sio mnaanzisha halafu hata vikosi vinavyocheza mnashindwa kuvitaja.
Ukienda page ya kwanza hata vikosi hakuna,basi mods wajitolee ku update uziWatu si wanakimbilia kuanzisha nyuzi tu hata kama hawana uhakika wa bando? 😁
Saa ngapi?Hayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.
Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.
Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Weka ulale njeKwa kikosi hichi, naweza kuweka bondi hata nyumba ya urithi.
Raha ya vibanda umiza.
Kumbe yanga mpaka Sasa wanajiona no Bora kuliko Simba, inasikitisha sanaGAMONDI is a professional coach, ameenda uwanjani kuangalia Makolokwinyo wakicheza unategemea Nini?
Leo ni kichapo tu Cha mbwa Koko! Yanga 3 - Kolowizard Mbumbumbu Simba fc 0! Hiyo imeeeeeeeenda!
Hatutaki lawama za refa Simba itakufa kiume Tena Leo kama kawa, mkandaji mkubwa wa kwanza ni Feitoto Kwa bao lake la uchungu kule CCM Kirumba lililowalaza Simba na viatu huyo Kibu alibahatisha tu Yanga ikiwa haiko mchezoni na Leo atakutana na Ibra Bacca ambae mechi Ile hakucheza tutaona jinsi Kibu D atarukaruka tu uwanjani kama maharage!
Yanga ni baba wa boli Tz Kwa Sasa namuona Max Nzengeli akifungua booster zaidi leo, makolo watakoma!
Aziz Ki ana goli mbili za faulo! Leo kama sio Yanga 5 - Simba 0 sijui labda refa akatae magoli kama kule Mkwakwani na Leo hatukubali ujinga wa marefa kuibeba Simba!