Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kiko wappi.ππKiko wapi πππ€£πππ€£πππ€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiko wappi.ππKiko wapi πππ€£πππ€£πππ€£
Aaahaaa
Azinduke tu sababu hakuna namna. πππNaskia kazimia jana
Leo unatamba tuu mjini....pacome hatari kawagaragaza vibaya simba hawataki kumuonaHahahaaa. Hii kauli ukiwauliza leo wataikataa. π π
Kabeesa. Tumewahi kabla ya muda wa kuanza kulijenga Taifa ili tukawacheke wale waliokuwa na kelele ijumaa. ππLeo unatamba tuu mjini....pacome hatari kawagaragaza vibaya simba hawataki kumuona
Nipo jana nilikuwa taifa nacheki tuu mnavhombwela mbwela....kha! Goli tano jamani nyingi....poleni sana. Sasa tunazika au kusafirisha?Upo??? Mechi ya jana imekuibua...
Umepotea sana mzabzab
Hapo tu kaenda uwanjani mambo yamekuwa ivo, je engeenda na mazoezini kwao si zingkw 10 sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule aliyekuwa anamtaka Gamondi akacheki mazoezi yao sijui ana hali gani huko aliko? [emoji23][emoji23]
Pacome ni habari ingine aisee. πLeo unatamba tuu mjini....pacome hatari kawagaragaza vibaya simba hawataki kumuona
Kelele nyingi ukuta wa jeriko sijui nini ukuta wenyewe kila leo una leak magoli....alafu hawa jamaa hawajui mpira sifa nyingi wakati yanga wamesajiri watu bwana!Kabeesa. Tumewahi kabla ya muda wa kuanza kulijenga Taifa ili tukawacheke wale waliokuwa na kelele ijumaa. ππ
Kabisa π€£Azinduke tu sababu hakuna namna. πππ
Kumi tu. ππ hizo chache. Teh tehHapo tu kaenda uwanjani mambo yamekuwa ivo, je engeenda na mazoezini kwao si zingkw 10 sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππ alifura kichwa baada ya kuambiwa ye ndo mgeni rasmi. ππYan Hadi nimeota, kibu alikuwa anamaanisha nini kutuwekea mkono mdomoni sisi!![emoji23][emoji23]
Ni mbumbumbu tu ndio anaweza fungwa goli tano halafu akafurahia eti hazimuumizi. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muulize OKW BOBAN SUNZU atakupa matokeoWakuu Ndio Nimeamka NGAPI NGAPI Aisee?[emoji23][emoji23][emoji23]