Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maishaa usimfananisheChama ni jini?
Ile mechi tumejifunga wenyewe hatuna wa kumlaumu kitendo tu chakupeleka mechi ya home jamhuri lilikua kosa lakwanzaPrison ni MAMMBWA tu. baada ya kujiona wameifunga simba wakaja kulakichapo kwa Mtibwa..nguvu ya soda.
Hahahaa. Lol.
AsalamHahahaa. Lol.
Sikuwepo bana mtani siku 3 nipo nje ya mji no network...
Kwa timu hizi za jeshi jinsi walivyopigika kimaisha SUALA LA KUPEWA BAHASHA NI RAHISI
Nawe munyamaYeah kudadeki
Wivu tuSisi Yangaa tune hukia sana Mnyama kushinda mechi hii dhidi ya Mashujaa basi tuu[emoji3526][emoji41][emoji30]
Watukanaji wapigwe banJf kuwe na utaratibu wa kurekodi sauti na kupost
Kumbe huwa mnawapaKwa timu hizi za jeshi jinsi walivyopigika kimaisha SUALA LA KUPEWA BAHASHA NI RAHISI