FT: Simba SC 2-0 Mashujaa FC | NBC Premier League | Azam Complex | 15.03.2024

FT: Simba SC 2-0 Mashujaa FC | NBC Premier League | Azam Complex | 15.03.2024

Kuhusu Ubingwa tujipange next season ila msimu Yanga yuko fara na kwa fomu yake kupoteza mechi ngumu na kama atampiga Azam kesho kutwa basi ubingwa 95% upo kwake.
Hamjaamini? Daraja Maimuna halivuki. Tayari keshachomekea dela kwenye sidilia. Fimbaaaaa
 
Simba afunge,afungwe, Young afungwe,afunge,yale yale. Ila,kihelehele cha mashabiki ndo mkosi Simba wal

Sishabikii yoyote,ila ukweli usemwe. Young wanacheza mpira na kuburudisha raia. Hata wasiosema,ukweli wanaujua. Full stop.
Huko Kwenu Kuna mtu aliwahi kusema Wenye Akili na hikma ni Wa2 tu....!
Aliwaunguzia picha kinoma noma.

Leo simtaji..!
 
Simba ameshamvuka Azam na sasa hivi anakaribia kumkamata Yanga

1710532167928.png
 
Back
Top Bottom