Atainua mikono juu hata kama alikua shujaaAdui Muombee njaa!
Naona Manula ndo basi tena. Aende tu kwa mkopo kwingine
Aende wapi yule?Naona Manula ndo basi tena. Aende tu kwa mkopo kwingine
Umri umemtupaNaona Manula ndo basi tena. Aende tu kwa mkopo kwingine
Leo ni 1 : 1I wish angetokea koplo kama yule wa Prisons wa kubadilisha matokeo ya mchezo leo.
ThubutuuMashujaaa tandikeni hao makolo
Utasubiri sanaI wish angetokea shujaa kama yule koplo wa Prisons wa kubadilisha matokeo ya mchezo leo.
UmetumwaLeo sio afande mbangula tena
Leo wajeda wanadumbua na kuwanyandua
IhefuAende wapi yule?
Tutapata ushindi wa kishindo Inshallah!!