Simba ndo inacheza Sio timu Lako UtopoloGame kama hatupigwi hii sijui tu
Siba Guvu Moya[emoji1491]
By MO
Bahati gani? Unadhani hao singida hawachezi?Kwa kifupi Simba hii huwa tunashinda kwa bahati tu. Hili Bocco daah, ndo Boko kweli
Mbona wanacheza vizuri tu kulingana na mechi yenyewe? Lawama acheni.Sielewi kwanini wachezaji wa Simba haiwezi hata ku possess mpira na hawana stamina kabisa. Pia kwanini washamba? Yaani wanashangaa tu?
Angalia mpira waki hold Singida na waki hold Simba utaona tofauti.Bahati gani? Unadhani hao singida hawachezi?
Kwa hiyo Singida hawana bahati?Angalia mpira waki hold Singida na waki hold Simba utaona tofauti.
Chura banah 😁Simba simba acheni kukumbatia wachezaji wazee humo wanawaloga hao vijana sasa hata uwanjani wanakuwa mazezeta sasa..