FT | Simba SC 2-1 Ihefu FC | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Saa 1:00 Usiku| Oktoba 28, 2023

Tarehe 5 haupati kitu
 
Sema wewe kakosea nini, goli linafungwa wakati kuna mabeki watano wa Simba na washambuliaji wawili. Halafu eti kipa alaumiwe.
Hata kama kipa ningekua mimi siwezi kutema mpira vile
 
Zimbwe anampaka kazi sana Che Malone
 
Dakika yangapi wadau?
Wengine tuko machakani kwenye majukumu ya kulijenga Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…