BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Wanaongoza michezo ya kuchezaUtopolo wanaongoza ligi ila hawana furaha [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaongoza michezo ya kuchezaUtopolo wanaongoza ligi ila hawana furaha [emoji23]
wanawake kwa kupenda kutaja sifa zenu hamjambo.... ILA ASANTE DADA KWA KUTUJULISHA KUWA MUKIWA NA MIMBA MUNAPENDA KUONGEA OVYO NA KUTEMATEMA MATE.
Goli 2 kama alizokalia Yanga?Mimi Kiwatengu nikiwa Tanangozi nje kidogo ya Iringa manispaa, naitakia Ihefu ushindi wa goli 2.
Refa akiwa Tatu malogo usitegemee haki hapo.Hii ndio mechi ya kweli. Hakuna maelekezo kutoka juu wizarani
Mlete mamako awe refaRefa akiwa Tatu malogo usitegemee haki hapo.
Hahahaaaa, huyu ni nani mkuu? Ni CAPO DELGADO au Mhasibu wa Msimbazi OKW BOBAN SUNZU au SAGAI GALGANO au Kalpana ?
Hili swala la kumtaja mama yangu huwa silipendi kabisa.Mlete mamako awe refa
Mpige na kimwekumweku anakuchokoza huyo. Mlipue tu mkuu.Hili swala la kumtaja mama yangu huwa silipendi kabisa.
Nakuomba usimtaje tena mama yangu kwani ahusiki kwa lolote hapa.
kama matusi nitukane mimi, kwani ndie ninaehusika, nadhani umenipata.
Jf ya sasahivi sio ile tuliyokuta 2009. Ukichangia Akija mtu kutofautiana na uchangiaji kitu cha kwanza ni matusi na sio kupinga kwa hoja , moderator unafuatilia hii Hali ya matusi au matusi ni halali ??Hili swala la kumtaja mama yangu huwa silipendi kabisa.
Nakuomba usimtaje tena mama yangu kwani ahusiki kwa lolote hapa.
kama matusi nitukane mimi, kwani ndie ninaehusika, nadhani umenipata.
Leo ni pira biriani kwa Mkapa.Kwa uchambuzi, vikosi na usimulizi wa mchezo huu wa kukata na mundu basi kuwa karibu na uzi huu.
Kila la heri IHEFU piga mbumbumbu hao.Salaam wakuu.
Mshikemshike wa ligi ya NBC PL kuendelea leo ambapo mnyama mkali na mafundi kandanda Simba sc a.k.a WANALUNYASI watakipiga dhidi ya timu ngumu ya IHEFU FC kutoka Mbeya.
Simba wanaenda kwenye mchezo huu wakiwa nafasi ya pili na alama 15 baada ya kucheza michezo 5 akishinda yote huku wakifunga mabao 14 na kuruhusu mabao 4.
wakati huohuo IHEFU wapo nafasi ya 11 wakiwa na alama 7 baada ya kucheza michezo 6 wakiwa wameshinda michezo 2 sare 1 na kupoteza 3 huku wakiwa wamefunga mabao 3 na kuruhusu mabao 5.
Mchezo huu utakuwa mubashara hapa jamii forum.
Kwa uchambuzi, vikosi na usimulizi wa mchezo huu wa kukata na mundu basi kuwa karibu na uzi huu.