Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Hili goli wangefunga Yanga ungesikia mikia wanasema BAHASHA imetembea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limefungwaje?Hili goli wangefunga Yanga ungesikia mikia wanasema BAHASHA imetembea.
18 sasaDakika ya ngapi?
Ni wivu tuBahasha
Kipa alitoka golini akauacha mpira wa Baleke uingieLimefungwaje?
Kunywa maji mkuuMagoli ya aina hii yanaleta mashaka makubwa sana!! Timu kama Ihefu ni bora tu ishuke daraja. Maana msimu mzima wenyewe wanajiandaa kucheza na timu moja tu.
Sasa ihefu ikishuka Daraja itakuwaje na ndo mbabe wenuMagoli ya aina hii yanaleta mashaka makubwa sana!! Timu kama Ihefu ni bora tu ishuke daraja. Maana msimu mzima wenyewe wanajiandaa kucheza na timu moja tu.
Beki wa Ihefu kampasia beleke, kipa sasa kama sio yule aliyedaka na YANGA.Limefungwaje?
objective footballSimba anapiga pira papatu papatu hapa [emoji23]
Nimegundua humu tuna share na watoto wetu wa kambo, haki ya mungu.Jf ya sasahivi sio ile tuliyokuta 2009. Ukichangia Akija mtu kutofautiana na uchangiaji kitu cha kwanza ni matusi na sio kupinga kwa hoja , moderator unafuatilia hii Hali ya matusi au matusi ni halali ??
Mtindo huu unashusha hadhi ya jf .
Vyote hivyo hakuna, mtu anakula Vitu flat tuleo kuna mawili
1.red card
2. penati
mnajua timu gani itanufaika na haya