FT | Simba SC 2-1 Ihefu FC | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Saa 1:00 Usiku| Oktoba 28, 2023

Hili swala la kumtaja mama yangu huwa silipendi kabisa.
Nakuomba usimtaje tena mama yangu kwani ahusiki kwa lolote hapa.

kama matusi nitukane mimi, kwani ndie ninaehusika, nadhani umenipata.
Mpige na kimwekumweku anakuchokoza huyo. Mlipue tu mkuu.
 
Azizi Ki Goal 6
Maxi Nzingeli Goal 5
Yao Yao Assists 4

This team is fucking Annoying, its Quality is Sensational [emoji24][emoji24][emoji24]

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Hili swala la kumtaja mama yangu huwa silipendi kabisa.
Nakuomba usimtaje tena mama yangu kwani ahusiki kwa lolote hapa.

kama matusi nitukane mimi, kwani ndie ninaehusika, nadhani umenipata.
Jf ya sasahivi sio ile tuliyokuta 2009. Ukichangia Akija mtu kutofautiana na uchangiaji kitu cha kwanza ni matusi na sio kupinga kwa hoja , moderator unafuatilia hii Hali ya matusi au matusi ni halali ??
Mtindo huu unashusha hadhi ya jf .
 
Kila la heri IHEFU piga mbumbumbu hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…