FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024

FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024

I must be honest,
ukweli hutuweka huru, nimefurahi mno leo chama langu Coastal Union kufanya come back na kuduwaza makolo, sasa kituo kinachofuata sijui mnaita derby ni kipondo tu kwa kolowizard FC. Leo huku Buza Mpalanger maskani kwetu kumetuliaaaa hadi raha. no vuvuzelas , no makelele ya boda boda. Yaani na iwe hivi kila siku!!

Japo sikushagaa sana matokeo kwakuwa last season Coastal Union ilikuwa ya nne kolo FC ya tatu, ni vitimu vinavyokaribiana uwezo.
 
20241004_184914.jpg

Hii anawezaga mwanetu tu
 
Siamini yaani niliacha ubao 2-0 narudi nakuta Coastal wamefanya comeback ya ajabu. Shida ni nini wanasimba?

Pia tuzidi kuomba mechi ijayo uto nao watoe droo au wafungwe kabisa
 
Siamini yaani niliacha ubao 2-0 narudi nakuta Coastal wamefanya comeback ya ajabu. Shida ni nini wanasimba?

Pia tuzidi kuomba mechi ijayo uto nao watoe droo au wafungwe kabisa
Dua la kuku.
Tengenezeni timu kwanza.
October 19 yaweza kujirudia yale yale
 
Bila shaka wewe ni mu Israel.

Ha ha ha! Ni maombi tu, Tena wala huna haja ya kwenda kwa Mwamposa" unaweka vifungu, unapiga maombi!

Hawa Simba idadi yao ya magoli inatutesa, wanatakiwa kuondoka kwa point, wanaendelea vizuri, hili gap hawataliziba!
 
Back
Top Bottom