rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ni matokeo mazuri kwa Simba , timu ilikuwa na madhaifu mengi ambayo yalikuwa hayaonekani sababu walikuwa wanapata ushindi.
Mpaka Sasa timu haina muunganiki Kila mchezaji anacheza anavyojua, kocha hawapi nafasi wachezaji wengine amekuwa ni mtu wa kukariri.
Kama watayachukulia kwa mtazamo chanya watasonga mbele Ila Kama watayachukulia kw mtazamo hasi itawakost.
Mpaka Sasa timu haina muunganiki Kila mchezaji anacheza anavyojua, kocha hawapi nafasi wachezaji wengine amekuwa ni mtu wa kukariri.
Kama watayachukulia kwa mtazamo chanya watasonga mbele Ila Kama watayachukulia kw mtazamo hasi itawakost.