Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mi nachokiona hapa wewe ndio unayetokea nyuma nyuma na kuanza kutunanga.Kuwa mkweli Mtani yaani watu wanatokea nyuma na kuscore goli mbili halafu unasema sio mbaya.
Acha utani banaa. 😅
Mwanzo wakati uzi unaanza ulikuwa wapi?