FT || Simba Sc 2 Vs 2 CSKA Moscow

FT || Simba Sc 2 Vs 2 CSKA Moscow

We ulitaka afungwe Nani come back from 2_0 to 2_2 mbona utoporo alishawai shangilia kama hii au ukumbuki? Tukukumbushe
Walishangilia kwenye mechi ya kirafiki? Walishangilia kwenye mechi inayokuongeza point. Sasa sare mliyopata inaongeza point kwenye mashindano yapi?
 
Matokeo yakiwa furahisha hamuandiki mashudu kama haya na yakiwakwaza mnaleta pumba kibao
Mbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
 
Mbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
Basi tulia huu ushauri wako wapatie viongozi wako wa utopolo waachane kucheza mechi za kirafiki na mbuni fc
 
Nimeona kipindi cha kwanza chote live baina ya CSKA VS Simba, kama Simba beki Mohamed Quattara ameendelea vile vile kuonyesha uzembe anapocheza nafasi ya ulinzi, kibaya zaid kapangwa na Onyango, wote hawana akili, nguvu nyingi maarifa kidogo.

Kocha Robertinho ananitia wasiwasi, kiungo Erasto Nyoni hajacheza takriban mechi 15 pale Simba, amekuwa akisugua benchi sana na wakati mwingine tulibashiri anapelekwa kwa mkopo, Leo kaanza kiungo wa chini kwa timu ambayo ukubwa wake kila mtu anaujua.

Nina wasiwasi sana huyu kocha time will tell

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu umeongea
Huyu hottara ni matatizo yani kama umemcheki alichokifanya dakika ya 79 kiukweli anakatisha tamaa sana

Alikuwa anatufungisha bao la 3

Sijajua labda apewe muda zaidi ila bado nawasi wasi naye sana
 
Mbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
Mkuu umebeza watu kushangilia Sare nimekuuliza je utopolo ajawai shangilia Sare kutoka 2_0 mpaka 2_2 lazima ushangilie
Utopolo aliwai shangilia Sare kama hii 2_0 to 2_2 umesahau? Na je ukumbuki watu walishangilia Sare ilitakiwa ujibu cha ajabu umekuja na mada tena tofauti
 
Mbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
Vilabu vya maana, vilikuwa vilabu gani? Kwa majina
 
Mbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
acha kukalili.
 
Sasa waje na ishu ya tumecheza na boda boda au waje na msimamo wa ligi au kikosi cha ngapi mkuje mseme maripota wetu tumekaa hapa
Sasa hao CSKA Moscow wame draw na anaeshika nafasi ya pili NBC premier League wangecheza na bingwa si wangeuwawa
 
Back
Top Bottom