Nimeona kipindi cha kwanza chote live baina ya CSKA VS Simba, kama Simba beki Mohamed Quattara ameendelea vile vile kuonyesha uzembe anapocheza nafasi ya ulinzi, kibaya zaid kapangwa na Onyango, wote hawana akili, nguvu nyingi maarifa kidogo.
Kocha Robertinho ananitia wasiwasi, kiungo Erasto Nyoni hajacheza takriban mechi 15 pale Simba, amekuwa akisugua benchi sana na wakati mwingine tulibashiri anapelekwa kwa mkopo, Leo kaanza kiungo wa chini kwa timu ambayo ukubwa wake kila mtu anaujua.
Nina wasiwasi sana huyu kocha time will tell
Sent from my SM-F916B using
JamiiForums mobile app