Walishangilia kwenye mechi ya kirafiki? Walishangilia kwenye mechi inayokuongeza point. Sasa sare mliyopata inaongeza point kwenye mashindano yapi?We ulitaka afungwe Nani come back from 2_0 to 2_2 mbona utoporo alishawai shangilia kama hii au ukumbuki? Tukukumbushe
Mbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
Basi tulia huu ushauri wako wapatie viongozi wako wa utopolo waachane kucheza mechi za kirafiki na mbuni fcMbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
Kweli mkuu umeongeaNimeona kipindi cha kwanza chote live baina ya CSKA VS Simba, kama Simba beki Mohamed Quattara ameendelea vile vile kuonyesha uzembe anapocheza nafasi ya ulinzi, kibaya zaid kapangwa na Onyango, wote hawana akili, nguvu nyingi maarifa kidogo.
Kocha Robertinho ananitia wasiwasi, kiungo Erasto Nyoni hajacheza takriban mechi 15 pale Simba, amekuwa akisugua benchi sana na wakati mwingine tulibashiri anapelekwa kwa mkopo, Leo kaanza kiungo wa chini kwa timu ambayo ukubwa wake kila mtu anaujua.
Nina wasiwasi sana huyu kocha time will tell
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Walishapigwa kama mbwa na sevilla walijenga nini?Simba mmejitahidi, hata mkifungwa 29 exposure ya mechi ya leo itawajengea sana kujiamini na kutoziogopa timu kubwa
Mkuu umebeza watu kushangilia Sare nimekuuliza je utopolo ajawai shangilia Sare kutoka 2_0 mpaka 2_2 lazima ushangilieMbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
ManunduWalishapigwa kama mbwa na sevilla walijenga nini?
Vilabu vya maana, vilikuwa vilabu gani? Kwa majinaMbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
Watakuwa viti virefu
Russia ni wazungu [emoji23][emoji23]kweli mbumbumbu ni kipajiKyombo kama kazaliwa upya
Nb unitajie mchezaji wa utopolo aliwafunga wqzungu mwaka huu 2023
Yale yale dah..Mungu amrehemu al sahafUnanikumbusha Al Sahaf wa Iraq.
Amesahau wao utopolo waliwai shangilia Sare kama hii tena kwa timu kubwa pale kwa mkapaUnabweka ukiwa wapi we mbwa?
acha kukalili.Mbivu na mbichi itajulikana kwenye michezo ya kimashindano. Kama unakumbuka msimu ambao mnatolewa kwenye klabu bingwa na Galaxy, Simba ilicheza michezo ya kirafiki ya kimataifa na vilabu vya maana tu na haikupoteza mechi. Lakini ilipokuja mechi za kimashindano ikaleta taswira tofauti. Mechi ya kirafiki mnayosherekea nayo au kubezwa nayo kwa matokeo haiwezi ku reflect chochote katika mechi za kimashindano
tunaomba matokeo bossKweli Ruge alisema ogopa Mungu na teknolojia, haya ndio Simba hawakutaka wayajuwe Watanzania.
Tayari 2 bila.
Mechi ya kirafiki tulicheza na vilabu vipi ivyo vya maanaVilabu vya maana, vilikuwa vilabu gani? Kwa majina
Koti Lina pepea Kala konatunaomba matokeo boss
Umeumizwa na matokeo ya leoRussia ni wazungu [emoji23][emoji23]kweli mbumbumbu ni kipaji
Sasa hao CSKA Moscow wame draw na anaeshika nafasi ya pili NBC premier League wangecheza na bingwa si wangeuwawaSasa waje na ishu ya tumecheza na boda boda au waje na msimamo wa ligi au kikosi cha ngapi mkuje mseme maripota wetu tumekaa hapa