FT: Simba SC 3-0 Namungo FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.10.2024

FT: Simba SC 3-0 Namungo FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.10.2024

Namungo FC timu ya mwanachama wa SSC Kasim Majaliwa,na inayonolewa na mwanachama wa simba JUMA RAMADHAN MGUNDA,tusitarajie maajabu ktk mechi hii kwani anajulikana atakayeshinda. kila lenye kheri NFC.
Makolo leo watajipigia kama sio 5 basi 4.
 
FB_IMG_17298076538110039.jpg
 
Wazee tuwe wakweli, hii timu yetu tia maji bila bahasha hatutoboi. Nimekaa pale.
 
Yanga tumetoa code kwa nyie ndugu zetu ila prison wakashindwa

Sasa namungo leo fanyeni kweli
Namungo 1
Chupi upande 0
 
Namungo msikubsli msmbo ya Coastal union ya kupigwa nje ndani !
 
Mgunda hapo lazima awafundishe namungo namna ya kufungwa vizuri na simba ili isionekane imepanga matokeo, yaani wafungwe lakini kiakili
 
Back
Top Bottom