kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Kwani ndoa yao na Coastal Union ilivunjika lini?Hakuna mechi hapo kocha wao wa sub Juma Mgunda yupo tayari kwa lolote kule pembeni ni Majaliwa kama mwanachama mwaminifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ndoa yao na Coastal Union ilivunjika lini?Hakuna mechi hapo kocha wao wa sub Juma Mgunda yupo tayari kwa lolote kule pembeni ni Majaliwa kama mwanachama mwaminifu.
Ila mgunda anaweza akakomaa akijua wazi kuondoka kwa fadlu ni njia nyeupe kwake.Ngoja tuone kama atafika Christmas
Timu ambazo huwa mnasema zinaipa Simba ushindi wa bure ndiyo huwa zinachangia kuinyima point za ubingwaHakuna mechi hapo kocha wao wa sub Juma Mgunda yupo tayari kwa lolote kule pembeni ni Majaliwa kama mwanachama mwaminifu.
1st eleven kwako ni kitu gani?Hivi kocha wenu hana kabisa 1st Eleven?
Au tusiwapangie. 🤣
Kwani hajarudisha kadi ya uanachama wa simba?!Sijui kocha Mgunda atafanyaje. Ana kadi ya 5imba.
Wachezaji wa Namungo jitahidini hivyo hivyo mtupatie hata sare.
Mgunda hawezi saliti kituo chake cha kazi cha kudumu hapo namungo anajua wazi yy ni mpitaji tu.Timu ambazo huwa mnasema zinaipa Simba ushindi wa bure ndiyo huwa zinachangia kuinyima point za ubingwa
Gsm anchofanya amenunua timu ambazo zitachrza na wao ambazo hazina uwezo sana ili zipate point za bure, timu nyingine zimefaziliwa pia na mtu mwingine wa yanga kwa pesa nyingi kama singida stars ambao sasa simba haitakua na upinzan pekee kwa hao supu fc bali hata singidaDua la kuku
Mgunda hawezi kuwa na influence hiyo wakati kapewa timu ndani ya muda mfupi na aliowakuta wote wapo wamemzunguka. Mnasema haya mapema ili Simba ikishinda mpate cha kusema. Siku nyingine jaribuni kuwa watu wa mpira.Mgunda hawezi saliti kituo chake cha kazi cha kudumu hapo namungo anajua wazi yy ni mpitaji tu.
Hilo linajulikana. Timu zote zenye historia ya ukaribu na Simba ambazo labda wanadhani zingeweza kuleta ugumu kaweka pesa yake, kuanzia Pamba hadi Coastal. Mechi pekee ambazo Yanga anawekeza nguvu ni dhidi ya Simba, kwingine kote ushindi ni kama kusukuma mlevi, hapo si utakuwa bingwa hata kwa miaka 20 mfululizo.Gsm anchofanya amenunua timu ambazo zitachrza na wao ambazo hazina uwezo sana ili zipate point za bure, timu nyingine zimefaziliwa pia na mtu mwingine wa yanga kwa pesa nyingi kama singida stars ambao sasa simba haitakua na upinzan pekee kwa hao supu fc bali hata singida
Pamba msimu huu hajashinda game yoyote... Lakini Mbumbumbu mnataka Yanga ndo ifungwe na Pamba???Hilo linajulikana. Timu zote zenye historia ya ukaribu na Simba ambazo labda wanadhani zingeweza kuleta ugumu kaweka pesa yake, kuanzia Pamba hadi Coastal. Mechi pekee ambazo Yanga anawekeza nguvu ni dhidi ya Simba, kwingine kote ushindi ni kama kusukuma mlevi, hapo si utakuwa bingwa hata kwa miaka 20 mfululizo.
Jifunze mpira dogo. Kutoshinda mechi hakumaanishi hauwezi kufungwa na hiyo timu. Ihefu ilikuwa inashika mkia ilipoifunga Yanga.Pamba msimu huu hajashinda game yoyote... Lakini Mbumbumbu mnataka Yanga ndo ifungwe na Pamba???
Sanamu la Rage lijengwe pale Fire mwendokasi [emoji28]
Amina🙏Nimeipenda hii kpnz