maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 935
- 2,096
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sisi Uto tuna topolo wenzetu kibao kibao wanaotuhakikishia tunapata ushindi.. Mwambusi, Minziro, Maxime, Zahera, ...Sisi Namungo hata tukipata tu sare kutoka kwa Kaka yetu, inatutosha. Ila kwa bahati mbaya Mgunda atahakikisha hata hiyo sare nayo haipatikani.
Ushindwe na ulegee kama mlenda pori. Na dua yako ipotelee mbali kabisa.Kila la kheri Namungo.
Makolotanouzdadi lolote baya liwakute.
Nimependa kosi la leo ukiacha nafasi ya Mutale.
Hivi kocha wenu hana kabisa 1st Eleven?Ni poa sana kumuona Mukwala
Leo lazima afanye kitu kumu-impress coach
Fadlu mnafukuza lini?Nimependa kosi la leo ukiacha nafasi ya Mutale.
Hivi Simba imewahi kumchezesha Ngoma kama 10? Jamaa ni mzuri sana kwenye pasi mpenyezo
Dua la kukuFadlu mnafukuza lini?
WapigweeNamungo piga makolo hao
Ngoja tuone kama atafika ChristmasDua la kuku