OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
au Morison anatumia majini? 🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo huyu wakili msomi hata sijui kala nn maana wa motooo hatari ila tu awe mtulivu akifika goliniau Morison anatumia majini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
huu mkeka hauchaniki mpaka mpira unaishaNitakua offline leo ila ushindi ni lazima tena goli 2
Nishaweka mkeka wangu huo hapo
Mimi sijaangalia mpira wala kusikiliza, imekuwaje mkuu hebu tupe mchanganuo wa kilichojiriau Morison anatumia majini? 🤣🤣🤣🤣🤣
Achana na wale... Wana gubu kama wake wenza....Umeme...timunza bongo zikipewe umeme wanaonewa..penati wanaonewa..
Haya sasa huku CAF nako.?
Wapuuzi pekee ndio uamini kwamba simba inabebwa.Umeme...timunza bongo zikipewe umeme wanaonewa..penati wanaonewa..
Haya sasa huku CAF nako.?
mazuzu yaleUmeme...timunza bongo zikipewe umeme wanaonewa..penati wanaonewa..
Haya sasa huku CAF nako.?
Kwani caf wanachezesha malaika ambao hawahitaji fedha!!?..hapo t ahitaji goli 3 ili yasitokee ya makirikiriUmeme...timunza bongo zikipewe umeme wanaonewa..penati wanaonewa..
Haya sasa huku CAF nako.?