Daah Israel akiumia hakuna sub
Onyango anamudu wing back 2 alafu Kenedy anasimama 4 kesi inamalizwa
Mkuu utopolo kipindi cha pili ndicho hikiSimba rizikeni tuu ila mjue kipindi cha pili bado naona mnajifanya mumemaliza game
Hahaaaa zeru zeru anataka apeleke kesi tena maana si kwa mpira anao piga wakili msomi,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]PGO inawahusu yanga maana wataumizwa sana na morisonKuna nini huko? Sie tuko mbali , Wakili Msomi anatajwa Sana huku. Kafanyaje.? Utopolo Wamemfungulia Kesi nyingine?
Sasa itabidi kesi ifunguliwe polisi
Nomaa sanaKesi ya CAS ifufuliw
Unauhakika?Sasa mbona wanakata upepo..
anasimuliwa huyuUnauhakika?
Watu wakabishaNilisema huyu BM anatumia majini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tutawafuata walipoKuna watu wanatamani isifike hiyo tarehe.
BM3...
Man of the Match...
Banda kapiga rula moja BM akaikosaNaskia wamekoswa bao la 4 huko?