FT: Simba SC 3 - 0 Red Arrows kombe la shirikisho barani Afrika

FT: Simba SC 3 - 0 Red Arrows kombe la shirikisho barani Afrika

Kuna nini huko? Sie tuko mbali , Wakili Msomi anatajwa Sana huku. Kafanyaje.? Utopolo Wamemfungulia Kesi nyingine?
Sasa itabidi kesi ifunguliwe polisi
Hahaaaa zeru zeru anataka apeleke kesi tena maana si kwa mpira anao piga wakili msomi,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]PGO inawahusu yanga maana wataumizwa sana na morison
 
Manula anachezeqa rafu, Striker wa red arrows anajikuna kichwa maana si kwa kitu kizito hikki walichopigwa nacho kichwani

 
Simba imekosa Nafasi ya wazi kabisa

 
Back
Top Bottom