FT: Simba SC 3 - 0 Red Arrows kombe la shirikisho barani Afrika

FT: Simba SC 3 - 0 Red Arrows kombe la shirikisho barani Afrika

Ukumbuke pia ligi ya zambia sio sawa na ligi yetu ya kimagumashi weka akiba ya maneno
Nadhan unajisahaulisha kuwa Simba ni linyama kubwa sana sio hapa tu Tanzania bali Africa nzima linaogopwa!!
 
Ni Jumapili Tulivu, Jumapili Yenye Kimvua Fulani Maeneo Ya Mjini Dasilamu, Litako pigwa Pira Real Madrid, Wakati Timu zingine Zikiwa Mikoani kuendelea kusaka Point, Kama mkoa wa mbeya Na Vitongoji vyake, SIMBA SC atakuwa analiwakilisha taifa kwenye michezo Ya Kimataifa...
Nguvumoja kila la kheri mnyama
 
Nadhan unajisahaulisha kuwa Simba ni linyama kubwa sana sio hapa tu Tanzania bali Africa nzima linaogopwa!!
Uyu wa sasa ni simba wa kibisa hana meno zaidi ya kutegemea chupli chupli ili ashinde mechi zake
 
Huu uzi umeukimbilia kuwahi kuufungua ili wasije wakaku-time akina BOBAN SUNZU?. Hiyo Gioni umeirudia rudia inamaanisha nini?. Au ndio kiswahili kipya huko mikiani?

Utopolo kaa Kimya, Kwani Neno DASILAMU Hujaliona?

Red Allows Hujaliona?

Tukutane kwa Mkapa Gioni Ya Leo
 
Back
Top Bottom