ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Hapa kuna mtu analala mbili aende zake maana simba haitaki mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu simba waache kabisa back passes au.pasi za kukadiria wakiwa golini kwao. Uwanja si rafiki, halafu uwanja wa mbona kama maji yanatuama kabisaHawajazoea,Yanga ndio wataalam wa kutumia viwanja vyenye changamoto.
Hii game BM ataogelea hadi kwenye eneo la penaltywalioruhusu mpira uchezwe ni watu wa hovyo
Kesi ya CAS ifufuliwe.BM333333333333333333
kweli kabisaKesi ya CAS ifufuliwe.
Onyango anamudu wing back 2 alafu Kenedy anasimama 4 kesi inamalizwa.Daah Israel akiumia hakuna sub