ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
Yule ni chizi fresh....Morisson anaweza akakufarahisha then akakukera ndani ya muda mfupi[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni chizi fresh....Morisson anaweza akakufarahisha then akakukera ndani ya muda mfupi[emoji23]
Utopolooooo kwishaaaaa kabisaMabata yapo kwenye dimbwi lazima yawe na nguvu mana ndiyo sehemu pekee yanapoinjoy!
Ndiokakosa???
Pamoja na kukosa jamaa anaucheza mwingi Sanaaa, na kalenga Lango ikawa Kona just right after kakosa penaltykakosa???
Ww subiri uje tukutane ndo utajua kwa nn bata akipiga bao lazima ajitikiseMabata yapo kwenye dimbwi lazima yawe na nguvu mana ndiyo sehemu pekee yanapoinjoy!
Alisikika Uto mwenye mwiko huko nyuma...Hakikisheni mnashinda nne bila...
Zambia hamtachomoka.
Wajuba walicheza ile mechi nje ya pitch.Hivi Simba walitolewaje na wale mafala. inauma sana
Hakikisheni mnashinda nne bila...
Zambia hamtachomoka.
Hivi Simba walitolewaje na wale mafala. inauma sana
Sio dharau, kocha alikuwa pimbi....Tuliwadharau kama tulivyowadharau Kaizer chief.
Mnachoweza kusonga mikia ni Ugali tu..Ndiyo Mlichobakiza mashabiki wa utopolo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kutuombea mabaya ila tunasonga tu
Tena siku hiyo inyeshe mvuaWw subiri uje tukutane ndo utajua kwa nn bata akipiga bao lazima ajitikise
Kima kweli ww...Mkude kawa mtamu....
Wanaume wakiwa kwenye maongezi ya msingi usijipitishe na khanga moja ukitingisha matako....Mnachoweza kusonga mikia ni Ugali tu..