Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Mwarabu kajaaa kwenye geto la p diddyWaarabu wanajichanganyajee tena jamaniiii!π€π€π€π€
Kila la kheri waarabuuuππ€ππ€ππππ
Cc Smart911
Teh teh π π Waarabu wa Kizimkazi mmeshakataa ndugu zenu..hakuna timu hapa wamekutana ma bwana miti
Mgense huyu mchezaji wewe crucial game unaleta mbwembwe kwenye eneo hatariKujiamini sana kumewaponza unaleta madoido mpira upo langoni mwako
Wewe kichwa maji hii mechi haijaisha.Tulipowatanguliza na baiskeli ya barafu wakapata sifa na wapambe nao walivyo brainless wakaendelea kuwajaza kichwa
mkuu huna timu hadi sasa ungekuwa huku kwa mabingwa ungeaibika vibaya mnooooTeh teh π π Waarabu wa Kizimkazi mmeshakataa ndugu zenu..
WanakushukuruNawatakia ushindi al ahly tripoly
Hongera mtani. Japo nawe leo upate 10mTupate mara ngapi mzee ..?
Unateseka ukiwa wapi uto?Waarabu wanajichanganyajee tena jamaniiii!π€π€π€π€
Kila la kheri waarabuuuππ€ππ€ππππ
Cc Smart911
π€£π€£π€£Simba 2-1 Al Ahly Tripoli & Yanga