lazima achukie maana yanga anawakanda kuanzia 5 wenye midomo midomoAmeandika
"Nawachukia yanga"
OK boss ngoja tuone mechi.huna timu, mechi inaisha 2-2 mkuu
mkuu utakuwa hukuona pasi ya boka, huyo mutale ana iga tuPasi ya kisigino aliyopiga Mutale ile inatosha kabisa kuombea mkopo benki yeyote
Hata ungekuwa wewe unaliona Likibu linacheza kama Drogba unaachaje kulipa pasi?hawa waarabu wajinga wajinga wanatoa pasi tu
Mechi za umitashunta siangaliagimkuu utakuwa hukuona pasi ya boka, huyo mutale ana iga tu
faulo n 13 kwa tisa nakukumbusha mmezidiana faulo 5Faulo ya 900 kwa Tripoli
Nikama ""UBAYA"" ivi sijuiAmeandika
"Nawachukia yanga"
mechi za umita shumita ndo kama hizi hazina hata mipango ya goli n papatu papatu tupuMechi za umitashunta siangaliagi
Wewe hesabu zinakusumbua huwezi kunielekeza mimi chochote kuhusu hesabufaulo n 13 kwa tisa nakukumbusha mmezidiana faulo 5
mechi ya wasiojua faulo huwa nyingi sana
hadi mtangazaji kaona komenti yangu na kasema sawia kama mimiWewe hesabu zinakusumbua huwezi kunielekeza mimi chochote kuhusu hesabu
Na ndio maana mpaka leo hujaweza ku-solve hiyo hesabu kwenye avatar yako
Mnajitahidi kujikotezea furaha kweli mkuu. Hongereni maana timu haiwezi kupiga hata pasi 5 straight.Pasi ya kisigino aliyopiga Mutale ile inatosha kabisa kuombea mkopo benki yeyote