FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Mashujaa kuna mchezaji wa 4B ? Maana hata Yanga tu walishindwa kumalizia 15M za Kagoma
Kusajili kwa gharama kubwa siyo issue sana issue ni performance uwanjani. Kama ingekuwa hivyo basi Simba angekuwa ananyanyasika sana Leo uwanjani wachezaji wengi wa Simba ni wa buku jero ukilinganishana hawa wa Libya .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…