FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Mkishindwa kuwapiga 5 ntawalaumu sana
mshawaweka kwa mfumo awa wametuangusha dadek zao
 
Yeah, ana madhaifu mengi sana. Angekuwa makini Simba ilikuwa iwe mbele kwa mabao 5 hadi sasa
vile unajitahidi kujipa moyo ila ukikumbuka umependelewa mnooo unaona aibu

refa wa awali angekua kama huyu ungepigwa nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…