Naongea kiufundi siyo kishabiki huku roho inaumaTuseme ukweli tu Simba Bado kikosi hakiko vizuri na hata kama watapita wanipange vizuri zaidi. Siyo kikosi cha matumaini ya kufika mbali kwenye hii michuano. Naongea kiufundi siyo kishabiki.
Taratibu mkuuNasema hivi, shabiki wa Simba anaefurahia huu ushindi ni mpumbavu
mkuu kama ana acha faulo za wazi itakuwa hiloMahaba ya kijinga. Sheria zipo wazi ukibandua jezi tu kadi inakuhusu
Bado hujasema.......Nasema hivi, shabiki wa Simba anaefurahia huu ushindi ni mpumbavu
Kawe wewe refa basiukweli usemwe refa ana madhaifu mnooo
Refa amefanyiwa substitution?vile unajitahidi kujipa moyo ila ukikumbuka umependelewa mnooo unaona aibu
refa wa awali angekua kama huyu ungepigwa nyingi