Hawajui ball kuanzisha ma thread ya kuisema vibaya simba kila maraVyura kelele nyingi sana
Ukorofi huo sijapenda kuja kuniquote dakika za jioooooni π
Acha roho mbaya. ππππ
Mpaka aombe msamaha kwa kuizarau Taasisi
Bao 3-1 kuna ponea chupuchupu!!?
Hata mieMi najua la 4
Hana akili timamu yule halafu hata mpira haujuiRAbani afutwe humu Jamii foruma hana adabu
Malizia, makundi shirikisho.Mpira umekwisha Simba imetinga hatua ya makundi
Acha kutukana basi. πππππThis is simba kumamayo zenu haters wote
HahaLeo mnatoka iwe isiwe