FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Hayo ni marudio ya Simba na Nkana.Kutanguliwa dakika ya 16 kusawazisha na kufunga goli la 2 na kufunga goli la 3 mwishoni kabisa.
 
Kuonyesha uungwana, hukutakiwa kuedit kiapo chako. Vinginevyo watu watakuwa hawachukulii kwa uzito posts zako, utakuwa kama Pdiddy tu. Kwa upande fulani namsifu Laban maana huwa anatumikia ban zake bila kinyongo
Hilo sio jukumu langu sina uwezo wa kujiban
 
Mie Shadeeya binti wa mzee Cristòvāo naitakia kila la kheri timu inayompa ugali brother angu Mabululu.

#Kilamtuashindemechizake.
Mtaniiiiii, naombaa uambatanee na brooh ako mabululu, ninaa tibaa yenuu na mtaponywaaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee half cast koko, hii Comment ako mbonaa haieleweki? Umevurugwaaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…