Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mkeka wangu bado unahema vizuri🤣🤣🤣Saangapi inaanza nivae kezi mapema za a a tripoli
Hoja 0 tengenezeni timu acheni janja janja wanetukama alilompigia Diara
Si jana walisema leo watatuonesha pira 🤣🤣 kumbe pira lenyewe ndo hili wanaanza kulaumiana hukuMbona madunduka hawajiamini na timu yao? Si waje kusheherekea. Wht mnajificha jificha? Waarabu wana roho za paka, watashinda tu 😥
Wazingatie mnoModerator zingatia hili
Mambo yanazidi kuwa magumu🤣🤣Tunahitaji magoli 2
😀😀😀Mitano teeeena kwa Murtaza MANGUNGU