Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Duh pumbu ximelegea angalau
Hii mechi imempa mzuka na confidence kama mshambuliaji. Maana ukisajiliwa na Simba Sc kama mshambuliaji pressure inakuwa ni kubwa sana.Ateba mshamba namana hiyo? Dk ya 60+ unavua jezi
Walikua wanaombea tufungwe haooo.Wameshakimbia
Simba Sc sio mbovu kiasi hicho na kama utaamua kuipima kwa mechi hii, ni lazima ukubali kuwa inacheza na mpinzani ambaye sio mchekea, however nitakusupport kiufundi, kama ifuatavyo:-Tuseme ukweli tu Simba Bado kikosi hakiko vizuri na hata kama watapita wanipange vizuri zaidi. Siyo kikosi cha matumaini ya kufika mbali kwenye hii michuano. Naongea kiufundi siyo kishabiki.
Ok mkuu. Ngoja tuendelee kutazama mpira.kwamba ujaona faulo refa kapeta mkuu ama mahaba yamekuelemea kama refa
Maji mtaita MMANdugu zangu, hawa wajinga washazingua.
Yule mjinga alishindwa nini kuchukua kadi ya timu? Anamsindikiza vile harusi ile?
Ateba hajalimwa kadi?ukweli usemwe refa ana madhaifu mnooo
Duh pumbu ximelegea angalau