Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeendelea na mambo mengine we binti..Hivi mashabiki wa Simba mpo siriasi kweli, mnafurahi hadi inatoka mishipa ya shingo eti kisa mnafuzu kuingia SHIRIKISHO
mkuu goli la 3 nimewaambia n faulo ilianza kutendeka mkakaza shingo ona goli limeondolewaRefa amefanyiwa substitution?
Andamaneni kesho 🤣🤣Mbona imekuwa 2-1 @ badala ya 3 why?
Basi bado ni hatari kwa Simba. Tupambane tupate 1 la nyongeza la sivyo hali ni mbaya.JF Ni goli....Ila pale uwanjani sio goli
Heee mbona ujinga ujinga tuUbao wa Azam unatuhujumu wanaandika Simba 2 waache ujinga
Acha umama wewe. Mlipovaa medali baada ya kuingia fainali hamkuandaliwa kitchen party pale ikulu. Au umejisahaulisha wewe chura jikeHivi mashabiki wa Simba mpo siriasi kweli, mnafurahi hadi inatoka mishipa ya shingo eti kisa mnafuzu kuingia SHIRIKISHO
hawatakuelewamkuu goli la 3 nimewaambia n faulo ilianza kutendeka mkakaza shingo ona goli limeondolewa
Hivi unadhani watafuzu?Hivi mashabiki wa Simba mpo siriasi kweli, mnafurahi hadi inatoka mishipa ya shingo eti kisa mnafuzu kuingia SHIRIKISHO
Barabarani kurudi DarNdio...kwani we uko wapi!?
😀😀😀😀 mzee mpiri keshafanya yake.KAGOMA kashapigwa Kurujuan na wachawi wa jangwani
AZAM wamefuta goli letu moja
Kwamba wamekataa goli la 3 ... Ateba alikuwa offsideSIMBA 3 - 1 Ahli Tripoli
Atebaaa dakika ya 61