Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafala sana . Maamuzi ya hovyo sanaNi upuuzi kuangalia mechi za kiafrika na waamuzi hawa wa kiafrika
Loser cup.Haya sasa kiko wapi??
Hizo zote (Barca na Man Utd) zipo kwenye top 3 kiuchumi (kabla ya Barca kupata crisis ya uchumi hivi karibuni) na hata ukubwa katika historia na makombe kimpira wapo samamba vilevile (zote ni team kubwa kiuchumi, fanbase na makombe)Khaaa mbona swali la kipuuzi hili!?
Barcelona na Man United ipi timu tajiri?
Kati ya Barcelona na Man United ipi timu kubwa??
Sijaridhika. Mwarabu hajamwaga damu hata mmoja. Inatakiwa wavimbishwe hawa.Tungekuwa tunahesabu chuma nne lakini bado ushindi mnono
Wapi wapi? Tuko 6 hiyo 1 mpaka 5 tulishavuka huko.Haya sasa kiko wapi??
Tunaenda kulipa hadhi tenaLoser cup.