Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Asante mtani yani na mmezilaaaa....😃😃😃Hongera sana mtani wangu tukutane makundi tuendelee kula hela za mama Samia 😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mtani yani na mmezilaaaa....😃😃😃Hongera sana mtani wangu tukutane makundi tuendelee kula hela za mama Samia 😎😎
huoni wamenikatalia goli langu la 4 kumbafu zake
Hahahahaa uwiii niombee nitaumbuka mjini hapa...haya bana natulia...talaka yako naomba kuwe na saini yangu pia ili niisaini vyema uende kwa ubaya ubwela...🤣
Pamoja always kipenzi changu, mdada mzuri asiye na makuu KalpanaLike wise dear bantu lady..hongereni na nyie Magoma FC
Sasa kama umecheza na chekechekea unategemea ninidk 4 goli 3
Dk90 goli 3
nikopalee kwa wakala
mpira haunaga adabuS
wale waarabu cyo cbe first year weweSikuwahi kujua kama Fadlu ni kocha mjinga hivi, hii risk ya kuanza kulinda goli (tena moja) zikiwa zimebaki dakika nyingi hivi maana yake nini?
Yani team iliyokuwa imeushika mchezo ianze kushikilia bomba kwa dakika zaidi ya 10?
Na ...aache.....atakufaAcheni kumlisha ATEBA chips yai 😁😁
Asante moderators. Haki imetendeka. Tupumnzike ujinga. Watunza risiti Pdidy hakuahidi?
Last tym niliwaandikia leo simba ameshinda sana drw ft
Na leo nawambia tena ft drw
Mbya ya magoli
😁🤣😁😁Asante mtani yani na mmezilaaaa....😃😃😃
Bingwa wa ngebe🤣🤣Yanga Bingwa.
Ume edit bro🤣Rudia kusoma comment yangu vizuri kabisa.
Ilikuwa ni yanga B...Mimi yanga mkuu hamjacheza na yanga
Hahaha🤣🤣🤣🤣 sita na timu gani sasa?Goli tatu tu lakini makelele mnayotupigia utafikiri mmeshinda sita
Unajisikiaje we UtopwinyoooooNaitwa mwakaposa kutoka mbeya Lolote liwakute nyinyi wana wa panya road aka makolo mbumbu fc timu mbovu kutoka kusini mwa jangwa la Sahara Kila la kheri timu ya Libya
Baadae ndio siku yenu ya kutia aibu
View attachment 3102568View attachment 3102569View attachment 3102570
NakaziaFULL TIME
SIMBA 3 - AL AHLI TRIPOLI 1
Simba wanafuzu makundi kombe la shirikisho Africa
We mjinga sitakiiii, na leo sipokei simu zako.Sherehe za tuzo ya JF ya jana zinafanyika wapi b...?
Ova