FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

Mtangazaji: Unafikiri nini sababu ya kupoteza mchezo wa leo dhidi ya Simba?

Kelvin Nashon: Simba walicheza wakiwa 12

Mtangazaji: Kivipi mbona wote mlikuwa sawa uwanjani?

Kelvin Nashon: Kulikuwa na Chama eneo la ulinzi, eneo la kiungo na eneo la ushambuliaji.
 
Haya mambo sisi tumeshayazoea, sisi ndio mabingwa wa kupiga pass hapa duniani [emoji23][emoji23][emoji23]. Leo angalau mmeanza kupiga pasi tena baada ya kukutana na timu mbovu ya singida
Bwahahaha buhahahaaa acha basi utani mtani......
 
Tunaomba kamsimamo please,
[emoji116]
Screenshot_20230203-205907.jpg
 
Back
Top Bottom