Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #481
Vp huko Ikungi mambo yanaendeleajeSimba 1 singida 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp huko Ikungi mambo yanaendeleajeSimba 1 singida 3
Nimecheka kama duanziMtangazaji: Unafikiri nini sababu ya kupoteza mchezo wa leo dhidi ya Simba?
Kelvin Nashon: Simba walicheza wakiwa 12
Mtangazaji: Kivipi mbona wote mlikuwa sawa uwanjani?
Kelvin Nashon: Kulikuwa na Chama eneo la ulinzi, eneo la kiungo na eneo la ushambuliaji.
Ahsante mkuu. Hawa yanga watadondosha point kweli? Ili angalau simba tupande 😃[emoji116]View attachment 2505222
Tunawafumua tuu kwa magoli yani kileleni bila magoli ya kutosha ni udhaifu[emoji116]View attachment 2505222
GENTAMYCIME uyu hapa haters namba moja wa chama sijui anaona hukoCritics wa Chama bado mpooo?
Saidoona na ntabanzonkiza?Hii combination ya Chama, Sakho, Saidoo na Ntibazonkiza ni balaa. Sjui ingekuwaje Phiri naye angekuwa ndani.
Wapi Sasa mkuu? Sisi Simba naona kma tunajiangaisha tu, tukishinda/tukidroo au tukifungwa bado tupo pale pale tu[emoji23][emoji23][emoji23] Yanga wapewe tu kombe laoAhsante mkuu. Hawa yanga watadondosha point kweli? Ili angalau simba tupande [emoji2]
😆Saidoona na ntabanzonkiza?
Kama haukupiga picha msimamo wa ligi wakati Simba yupo top basi jua ndio imeisha iyo we dada[emoji1][emoji1]Tunawafumua tuu kwa magoli yani kileleni bila magoli ya kutosha ni udhaifu
Nitaendelea kuongelea ndotoni leoJamani Simba unaweza kuiongelea mpk asubui ukasahau mpk kula....
Nalog offf....
Simba tunabeba Ubingwa msimu huu... ..Wait n seeKama haukupiga picha msimamo wa ligi wakati Simba yupo top basi jua ndio imeisha iyo we dada[emoji1][emoji1]
Yupo mwingine amejikausha kama haeleweli kilichotokeaGENTAMYCIME uyu hapa haters namba moja wa chama sijui anaona huko
Mechi zote za nyumbani anashinda kisha Vipers anampa ushindi huko Uganda, swala la robo fainali limeshakuwa utamaduni kwetu.Sijaona timu ya kumfunga Simba kwenye kundi lake mashindano ya CAF...
Nani anabisha
Umeona alichokifanya ukoHuyu Mbrazil Yanga hawa muoni. Ila mtani mtoeni Kanoute hii combination ya Ndemla na huyo Mbrazil kuna kadi ya pili itamuhusu.
Mwengine wa kutoka Sakho anawachosha wenzake kwa kupoteza mipira.
Simba wamecheza mpira wa kimataifaNilitabiri mnyama kushinda 3 imekuwa[emoji817]
Unasemaje wew rudiMechi bado ipo wazi kwa kila timu.., ubaya kwa Simba hawana tena kikosi nje!!!, Singida wamekosa umakini vinginevyo walipaswa kuwa na goli zaidi ya 2. Simba hawana uwezo wakuizuia singida isipate gori lingine na Kanouute asipobebwa na refa lazima achukue mwekundu wake.... Nje ya kubebwa Simba hawezi shinda hii mechi... See you after 90mins