FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

Hii combination ya Chama, Sakho, Sawadogo na Ntibazonkiza ni balaa. Sjui ingekuwaje Phiri naye angekuwa ndani.
Sawadogo analeta uhai pale katikati kwakua anaweza kukaba na kumiliki mpira kwa wakati mmoja, tunahitaji utimamu wake kimwili kuelekea mechi za CAF.

Ile combination ilibadili kabisa mpira.
 
Umeona alichokifanya uko
Kwa sababu kafunga........? Hivi ushajiuliza kapoteza mipira mingapi, shukuruni leo Singida hasa Kagere hakuwa makini hii mechi ingeisha kwa droo.

Ila ndigu yangu Simba kila siku ile identity yake inazidi kupotea, huko muendapo na huu mfumo anaotaka huyu kocha itawabidi muwe wavumilivu sana.
 
Mkuu denooJ kumbe ulikuwa sahihi uliposema

"kumbe kuwa na Chama kwenye timu kuna maana kubwa sana. Jamaa anawafanya waliomzunguka wawe wazuri pia"
 
Kwa sababu kafunga........? Hivi ushajiuliza kapoteza mipira mingapi, shukuruni leo Singida hasa Kagere hakuwa makini hii mechi ingeisha kwa droo.

Ila ndigu yangu Simba kila siku ile identity yake inazidi kupotea, huko muendapo na huu mfumo anaotaka huyu kocha itawabidi muwe wavumilivu sana.
Huijui simba wewe. Unapozani ndio sio, unapozani sio ndio. Nguvu moko
 
Kwa sababu kafunga........? Hivi ushajiuliza kapoteza mipira mingapi, shukuruni leo Singida hasa Kagere hakuwa makini hii mechi ingeisha kwa droo.

Ila ndigu yangu Simba kila siku ile identity yake inazidi kupotea, huko muendapo na huu mfumo anaotaka huyu kocha itawabidi muwe wavumilivu sana.
Simba wanafurahi wewe unawashauri......
Mfumo upi?
Ni ajabu Nyoka nyoka kumshauri Simba.
 
Kwa sababu kafunga........? Hivi ushajiuliza kapoteza mipira mingapi, shukuruni leo Singida hasa Kagere hakuwa makini hii mechi ingeisha kwa droo.

Ila ndigu yangu Simba kila siku ile identity yake inazidi kupotea, huko muendapo na huu mfumo anaotaka huyu kocha itawabidi muwe wavumilivu sana.
Kocha anajua anafanya nini Kwamba ukijichanaganya ana kuweka ndio mana alimuacha
 
Simba ikicheza inawarahisishia kazi hata wachambuzi studioni

Kila mchambuzi anakuwa na kauli moja ambayo inafanana na mwenzake

Club zingine zikicheza utayasikia haya

Mchambuzi 1: Lile ni goli

Mchambuzi 2: hapana ni offside

Mchambuzi 3: Refa alishindwa kutafsiri sheria ila kabla ya kufunga mchezaji alikuwa ameunawa mpira.

Club zingine ndio zinafanya watu waone uchambuzi ni kazi moja yenye mateso sana

Club zingine ndio zinafanya hoja kuhusu Azam kuongeza Camera nyingi uwanjani iwe na nguvu zaidi.

Kwasababu kuna muda inafikia hatua mchambuzi inabidi aingie kusoma kanuni za Fifa ili aone uhalali wa goli.

Mambo kama hayo huwezi kuyakuta kwenye mechi ya Simba
 
Kwa sababu kafunga........? Hivi ushajiuliza kapoteza mipira mingapi, shukuruni leo Singida hasa Kagere hakuwa makini hii mechi ingeisha kwa droo.

Ila ndigu yangu Simba kila siku ile identity yake inazidi kupotea, huko muendapo na huu mfumo anaotaka huyu kocha itawabidi muwe wavumilivu sana.
Makosa ya wachezaji ni sehemu ya mchezo kwahiyo huwezi kuyaondoa unapoangalia matokeo, unaposema game ingeisha droo bila yale makosa ya Kagere unakuwa na akili za kikombolela tu.

Haya na mimi nasema hivi, bila makosa ya Baleke (zile nafasi mbili) na lile kosa moja Zimbwe, game ingeisha 6-3.

Ushabiki usiwatoe akili.
 
Back
Top Bottom